Breaking News

DROO YA UEFA CHAMPION LIGI NA EUROPA LIGI RATIBA HII HAPA



hatimaye droo ya uefa champion ligi na europa ligi imefanyika leo majira ya saa saba mchana  ijumaa ya leo huku real madrid kukutana na atletico madridi hii ni bonge la mechi, na hii ni madrid dabi na juventus kukutana na monaco .Huku europa ligi celta vigo kukutana na manchester united,Ajax kukutana na  lyon

ratiba ya champion ligi hii hapa


droo ya europa ligi hii hapa



No comments